1 Mambo ya Nyakati 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao. 1 Mambo ya Nyakati 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kutoka kwa makuhani, kulikuwa na Yedaya, Yehoyaribu, Yakini,+ Nehemia 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na hawa ndio viongozi wa mkoa* walioishi Yerusalemu. (Waisraeli wengine wote, makuhani, Walawi, watumishi wa hekaluni,*+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ waliishi katika majiji mengine ya Yuda, kila mmoja katika sehemu aliyomiliki jijini.+ Nehemia 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kutoka kwa makuhani: Yedaya mwana wa Yoyaribu, Yakini,+
2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.
3 Na hawa ndio viongozi wa mkoa* walioishi Yerusalemu. (Waisraeli wengine wote, makuhani, Walawi, watumishi wa hekaluni,*+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ waliishi katika majiji mengine ya Yuda, kila mmoja katika sehemu aliyomiliki jijini.+