2Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+
8Basi hawa ndio waliokuwa viongozi wa koo* na hii ndiyo orodha ya ukoo wa wale waliopanda pamoja nami kutoka Babiloni wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:+