Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakaaji wa Gibeoni+ walisikia pia mambo ambayo Yoshua alitenda katika jiji la Yeriko+ na Ai.+

  • Yoshua 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini tangu siku hiyo, Yoshua akawafanya kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova mahali ambapo Mungu angechagua.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.

  • Nehemia 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na watumishi wa hekaluni*+ walioishi Ofeli+ wakafanya marekebisho hadi mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara uliochomoza.

  • Nehemia 7:46-56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Watumishi wa hekaluni:*+ Wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi, 47 wana wa Kerosi, wana wa Sia, wana wa Padoni, 48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai, 49 wana wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari, 50 wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda, 51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea, 52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefushesimu, 53 wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri, 54 wana wa Baslithi, wana wa Mehida, wana wa Harsha, 55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema, 56 wana wa Nezia, wana wa Hatifa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki