Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme.

  • 2 Wafalme 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova alikuwa pamoja naye. Popote alipoenda, alitenda kwa hekima. Alimwasi mfalme wa Ashuru na kukataa kumtumikia.+

  • 2 Wafalme 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mambo hayo yalitukia Yerusalemu na Yuda kwa sababu ya hasira ya Yehova, mpaka alipowatupa mbali kutoka mbele zake.+ Na Sedekia akamwasi mfalme wa Babiloni.+

  • Ezra 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ili uchunguzi ufanywe katika kitabu cha kumbukumbu za mababu zako.+ Ndipo utakapoona katika kitabu hicho cha kumbukumbu kwamba hili ni jiji lenye uasi, linalowaletea hasara wafalme na mikoa,* na tangu zamani lilikuwa na wachochezi wa uasi. Ndiyo sababu jiji hili liliangamizwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki