33 Hao walikuwa waimbaji, viongozi wa koo* za Walawi katika vyumba* vya nyumba hiyo, wale ambao hawakupewa kazi nyingine; kwa maana usiku na mchana walikuwa na wajibu wa kushika zamu zao.
2Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+