Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 15:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji ili waimbe kwa shangwe na sauti kubwa, kwa ala za muziki: vinanda, vinubi,+ na matoazi.+

      17 Basi Walawi wakamweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kutoka kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia na, kutoka kati ya ndugu zao Wamerari, Ethani+ mwana wa Kushaya.

  • Nehemia 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na hawa ndio viongozi wa mkoa* walioishi Yerusalemu. (Waisraeli wengine wote, makuhani, Walawi, watumishi wa hekaluni,*+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ waliishi katika majiji mengine ya Yuda, kila mmoja katika sehemu aliyomiliki jijini.+

  • Nehemia 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 na Matania,+ mwana wa Mika mwana wa Zabdi mwana wa Asafu,+ kiongozi wa waimbaji, aliyeongoza sifa wakati wa sala,+ na Bakbukia, wa pili kati ya ndugu zake, na Abda mwana wa Shamua mwana wa Galali mwana wa Yeduthuni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki