Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:41, 42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Walikuwa pamoja na Hemani na Yeduthuni+ na wanaume wengine waliochaguliwa na kutajwa majina ili wamshukuru Yehova,+ kwa sababu “upendo wake mshikamanifu unadumu milele”;+ 42 nao walikuwa pamoja na Hemani+ na Yeduthuni ili wapige tarumbeta, matoazi, na ala zilizotumiwa kumsifu* Mungu wa kweli; na wana wa Yeduthuni+ walikuwa langoni.

  • 2 Mambo ya Nyakati 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na waimbaji, wana wa Asafu,+ walisimama mahali pao kama alivyoamuru Daudi,+ Asafu,+ Hemani, na Yeduthuni,+ mwonaji wa mfalme; na walinzi wa malango walikuwa kwenye malango mbalimbali.+ Hawakuhitaji kuacha utumishi wao, kwa sababu ndugu zao Walawi walikuwa wamewatayarishia Pasaka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki