Ezra 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Yeshua, wanawe na ndugu zake, na Kadmieli na wanawe, wana wa Yuda, wakaungana ili kuwasimamia wale waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Mungu wa kweli, pamoja na wana wa Henadadi,+ wana wao na ndugu zao Walawi. Nehemia 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, na Matania+ aliyeongoza uimbaji wa nyimbo za shukrani akiwa pamoja na ndugu zake.
9 Basi Yeshua, wanawe na ndugu zake, na Kadmieli na wanawe, wana wa Yuda, wakaungana ili kuwasimamia wale waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Mungu wa kweli, pamoja na wana wa Henadadi,+ wana wao na ndugu zao Walawi.
8 Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, na Matania+ aliyeongoza uimbaji wa nyimbo za shukrani akiwa pamoja na ndugu zake.