2Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+
9 Basi Yeshua, wanawe na ndugu zake, na Kadmieli na wanawe, wana wa Yuda, wakaungana ili kuwasimamia wale waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Mungu wa kweli, pamoja na wana wa Henadadi,+ wana wao na ndugu zao Walawi.