9 Basi Yeshua, wanawe na ndugu zake, na Kadmieli na wanawe, wana wa Yuda, wakaungana ili kuwasimamia wale waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Mungu wa kweli, pamoja na wana wa Henadadi,+ wana wao na ndugu zao Walawi.
24 Viongozi wa Walawi walikuwa Hashabia, Sherebia, na Yeshua+ mwana wa Kadmieli,+ na ndugu zao walisimama wakitazamana walipokuwa wakiimba sifa na kumshukuru Mungu kulingana na maagizo ya Daudi+ mtu wa Mungu wa kweli, kikundi cha ulinzi kwa kikundi cha ulinzi.