Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na Bakbakari, Hereshi, Galali, Matania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu,

  • Nehemia 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 na Matania,+ mwana wa Mika mwana wa Zabdi mwana wa Asafu,+ kiongozi wa waimbaji, aliyeongoza sifa wakati wa sala,+ na Bakbukia, wa pili kati ya ndugu zake, na Abda mwana wa Shamua mwana wa Galali mwana wa Yeduthuni.+

  • Nehemia 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Matania,+ Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni, na Akubu+ walikuwa walinzi wa malango,+ walilinda maghala yaliyokuwa karibu na malango.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki