Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, na siku ya saba, mtakuwa na kusanyiko lingine takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote siku hizo.+ Mtatayarisha tu chakula kitakacholiwa na kila mtu.

  • Hesabu 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “‘Na siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+ Mnapaswa kupiga tarumbeta siku hiyo.+

  • Hesabu 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na siku ya 15 ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu, nanyi mnapaswa kumfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki