Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na majiji yaliyokuwa upande wa kusini kabisa wa kabila la Yuda kuelekea mpaka wa Edomu+ yalikuwa Kabzeeli, Ederi, Yaguri,

  • Yoshua 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Siklagi,+ Madmana, Sansana,

  • Yoshua 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+

  • Yoshua 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Siklagi,+ Beth-markabothi, Hasar-susa,

  • 1 Samweli 27:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Daudi akamwambia Akishi: “Ikiwa nimepata kibali machoni pako, naomba unipe mahali katika mojawapo ya majiji ya mashambani, ili niishi huko. Kwa nini mimi mtumishi wako niishi pamoja nawe katika jiji hili la kifalme?” 6 Basi Akishi akampa Siklagi+ siku hiyo. Ndiyo sababu tangu siku hiyo Siklagi limekuwa jiji la wafalme wa Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki