-
Mambo ya Walawi 2:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 “‘Mkimtolea Yehova mavuno ya kwanza ya nafaka iliyokomaa yakiwa toleo la nafaka, mnapaswa kutoa masuke mabichi yaliyokaangwa kwa moto, chengachenga za nafaka mbichi iliyopondwa, kuwa toleo la nafaka la mavuno yenu ya kwanza yaliyokomaa.+ 15 Mnapaswa kutia mafuta na ubani juu yake. Ni toleo la nafaka.
-