16 Pia, unapaswa kuadhimisha Sherehe ya Mavuno* ya matunda ya kwanza yaliyoiva* ya kazi zako, na ya vitu unavyopanda shambani;+ na Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mazao ya kazi zako.+
26 “‘Siku ya mavuno ya kwanza yaliyokomaa,+ mnapomtolea Yehova nafaka iliyotoka kuvunwa+ katika sherehe yenu ya majuma,+ mnapaswa kuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+