Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wajumbe wakapeleka kwenye mikoa yote ya* mfalme barua zilizokuwa na agizo la kuangamiza, kuua, na kuwafutilia mbali Wayahudi wote, vijana kwa wazee, wanawake kwa watoto, katika siku moja, siku ya 13 ya mwezi wa 12, yaani, mwezi wa Adari,+ na kuchukua mali zao.+

  • Esta 9:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Siku ya 13 ya mwezi wa 12, yaani, mwezi wa Adari,*+ wakati ambapo agizo na sheria ya mfalme ilipaswa kutekelezwa,+ siku ambayo maadui wa Wayahudi walitarajia kuwashinda, mambo yaligeuka, Wayahudi wakawashinda wote waliowachukia.+ 2 Wayahudi wakakusanyika pamoja katika majiji yao kwenye mikoa yote ya* Mfalme Ahasuero+ ili kuwashambulia wale waliotaka kuwadhuru, na hakuna mtu aliyeweza kuwazuia, kwa sababu mataifa yote yaliwaogopa sana.+

  • Esta 9:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wayahudi wengine wote waliokuwa katika mikoa ya* mfalme, wakakusanyika pamoja pia ili kulinda uhai wao.*+ Wakawaangamiza maadui wao,+ wakawaua watu 75,000 kati ya wale waliowachukia; lakini hawakuwapora chochote. 17 Mambo hayo yalitukia siku ya 13 ya mwezi wa Adari, wakapumzika siku ya 14 ya mwezi huo na kuifanya kuwa siku ya karamu na kushangilia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki