7 Basi Mfalme Ahasuero akamwambia Malkia Esta na Mordekai Myahudi: “Tazama! Nimempa Esta nyumba ya Hamani,+ naye Hamani ametundikwa mtini,+ kwa sababu alipanga njama ya kuwashambulia* Wayahudi.
24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ adui ya Wayahudi wote, alikuwa amepanga njama ya kuwaangamiza Wayahudi,+ na alikuwa amepiga Puri,+ yaani, Kura, ili kuwatisha na kuwaangamiza.