Danieli 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara moja wakamwambia mfalme: “Danieli, mmoja wa watu waliohamishwa kutoka Yuda+ hajakuheshimu wewe, Ee mfalme, wala marufuku uliyotia sahihi, badala yake anasali mara tatu kwa siku.”+
13 Mara moja wakamwambia mfalme: “Danieli, mmoja wa watu waliohamishwa kutoka Yuda+ hajakuheshimu wewe, Ee mfalme, wala marufuku uliyotia sahihi, badala yake anasali mara tatu kwa siku.”+