1 Samweli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+
22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+
17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+