Esta 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa andikeni katika jina la mfalme jambo lolote mnaloona linafaa kwa niaba ya Wayahudi nanyi mlitie muhuri kwa pete ya mfalme, kwa maana agizo lililoandikwa katika jina la mfalme na kutiwa muhuri kwa pete ya mfalme haliwezi kufutwa.”+ Danieli 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na sasa, Ee mfalme, itoe amri hiyo na kuitia sahihi,+ ili isiweze kubadilishwa kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, ambayo haiwezi kufutwa.”+
8 Sasa andikeni katika jina la mfalme jambo lolote mnaloona linafaa kwa niaba ya Wayahudi nanyi mlitie muhuri kwa pete ya mfalme, kwa maana agizo lililoandikwa katika jina la mfalme na kutiwa muhuri kwa pete ya mfalme haliwezi kufutwa.”+
8 Na sasa, Ee mfalme, itoe amri hiyo na kuitia sahihi,+ ili isiweze kubadilishwa kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, ambayo haiwezi kufutwa.”+