Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 36:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa kweli, Mungu ana nguvu,+ naye hamkatai yeyote;

      Yeye ni mkuu katika nguvu zake za uelewaji.*

  • Zaburi 104:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi sana, Ee Yehova!+

      Umezifanya zote kwa hekima.+

      Dunia imejaa vitu ulivyoumba.

  • Isaya 40:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Inueni macho yenu mbinguni mwone.

      Ni nani aliyeviumba vitu hivi?+

      Ni Yule anayelileta nje jeshi lao kwa hesabu;

      Huziita zote kwa majina.+

      Kwa sababu ya nguvu zake nyingi zenye msukumo na nguvu zake zenye kuogopesha,+

      Hakuna hata moja inayokosekana.

  • Danieli 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Danieli akasema:

      “Jina la Mungu na lisifiwe kwa umilele wote,*

      Kwa maana hekima na uwezo ni wake peke yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki