20 Lakini moyo wake ulipokuwa na kiburi na roho yake kuwa ngumu hivi kwamba akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa chini kutoka kwenye kiti chake cha ufalme, naye akanyang’anywa heshima yake.
12 Waliifanya mioyo yao iwe kama almasi*+ nao walikataa kutii sheria* na maneno ambayo Yehova wa majeshi aliwapa kwa roho yake kupitia manabii wa kale.+ Kwa hiyo Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+
5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+