Isaya 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 30:1 ip-1 302 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 30:1 Unabii wa Isaya 1, uku. 302
30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+