Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+
28 Je, hujui? Je, hujasikia? Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu kwa umilele wote.+ Yeye hachoki kamwe wala haishiwi na nguvu.+ Uelewaji wake hauchunguziki.*+