Yeremia 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 ‘Hata ukioga kwa magadi na kutumia sabuni nyingi,Bado hatia yako itakuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Malaki 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Lakini ni nani atakayestahimili siku atakayokuja, na ni nani atakayeweza kusimama atakapotokea? Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji wa madini na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.
22 ‘Hata ukioga kwa magadi na kutumia sabuni nyingi,Bado hatia yako itakuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
2 “Lakini ni nani atakayestahimili siku atakayokuja, na ni nani atakayeweza kusimama atakapotokea? Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji wa madini na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.