Isaya 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nitaugeuza mkono wangu dhidi yako,Nitayeyusha takataka yako kama kwa sabuni,Nami nitauondoa uchafu wako wote.+ Yeremia 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 ‘Hata ukioga kwa magadi na kutumia sabuni nyingi,Bado hatia yako itakuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
25 Nitaugeuza mkono wangu dhidi yako,Nitayeyusha takataka yako kama kwa sabuni,Nami nitauondoa uchafu wako wote.+
22 ‘Hata ukioga kwa magadi na kutumia sabuni nyingi,Bado hatia yako itakuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.