Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:73
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 73 Mikono yako iliniumba na kunifinyanga.

      Nipe uelewaji,

      Ili nijifunze amri zako.+

  • Zaburi 139:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana uliziumba figo zangu;

      Ulinisitiri* katika tumbo la mama yangu.+

      14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia inayoogopesha na kustaajabisha.+

      Kazi zako zinastaajabisha,+

      Ninajua* vizuri sana jambo hilo.

      15 Mifupa yangu haikufichwa kwako

      Nilipoumbwa sirini,

      Nilipofumwa katika sehemu zenye kina za dunia.+

      16 Macho yako hata yaliniona nikiwa kiinitete;

      Sehemu zake zote ziliandikwa katika kitabu chako

      Kuhusiana na siku ambazo zingeumbwa,

      Kabla sehemu yoyote haijakuwepo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki