1 Mambo ya Nyakati 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji+ atakapokupa mamlaka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Yehova Mungu wako.+ Ayubu 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ni roho iliyo ndani ya watu,Pumzi ya Mweza-Yote, inayowapa uelewaji.+
12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji+ atakapokupa mamlaka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Yehova Mungu wako.+