Ayubu 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yangu,+Nao wameyapiga mashavu yangu kwa dharau;Wanakusanyika kwa wingi dhidi yangu.+ Ayubu 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wadhihaki wananizunguka,+Na macho yangu yanalazimika kutazama* uasi wao. Ayubu 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Sasa wananicheka+—Wanaume wenye umri mdogo kuliko mimi,Ambao baba zao ningekataaKuwaweka pamoja na mbwa waliolinda kondoo wangu. Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+ Waebrania 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kudhihakiwa na kupigwa kwa mijeledi, naam, isitoshe, kwa kufungwa minyororo+ na magerezani.+
10 Wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yangu,+Nao wameyapiga mashavu yangu kwa dharau;Wanakusanyika kwa wingi dhidi yangu.+
30 “Sasa wananicheka+—Wanaume wenye umri mdogo kuliko mimi,Ambao baba zao ningekataaKuwaweka pamoja na mbwa waliolinda kondoo wangu.
36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kudhihakiwa na kupigwa kwa mijeledi, naam, isitoshe, kwa kufungwa minyororo+ na magerezani.+