Ayubu 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na ana nguvu nyingi sana.+ Ni nani anayeweza kumpinga na asipate madhara?+ Danieli 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Danieli akasema: “Jina la Mungu na lisifiwe kwa umilele wote,*Kwa maana hekima na uwezo ni wake peke yake.+
4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na ana nguvu nyingi sana.+ Ni nani anayeweza kumpinga na asipate madhara?+
20 Danieli akasema: “Jina la Mungu na lisifiwe kwa umilele wote,*Kwa maana hekima na uwezo ni wake peke yake.+