Ayubu 36:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, Mungu ana nguvu,+ naye hamkatai yeyote;Yeye ni mkuu katika nguvu zake za uelewaji.* Zaburi 147:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana wetu ni mkuu naye ana nguvu nyingi;+Uelewaji wake haupimiki.+ Isaya 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,Au kumfundisha ujuzi,Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+ Yeremia 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeye ndiye Muumba wa dunia kwa nguvu zake,Yule aliyeiimarisha ardhi inayozaa kwa hekima yake+Na aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+ Waroma 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,* au ni nani amekuwa mshauri wake?”+
14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,Au kumfundisha ujuzi,Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+
12 Yeye ndiye Muumba wa dunia kwa nguvu zake,Yule aliyeiimarisha ardhi inayozaa kwa hekima yake+Na aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+