Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 36:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa kweli, Mungu ana nguvu,+ naye hamkatai yeyote;

      Yeye ni mkuu katika nguvu zake za uelewaji.*

  • Zaburi 147:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Bwana wetu ni mkuu naye ana nguvu nyingi;+

      Uelewaji wake haupimiki.+

  • Isaya 40:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,

      Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,

      Au kumfundisha ujuzi,

      Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+

  • Yeremia 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeye ndiye Muumba wa dunia kwa nguvu zake,

      Yule aliyeiimarisha ardhi inayozaa kwa hekima yake+

      Na aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+

  • Waroma 11:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,* au ni nani amekuwa mshauri wake?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki