Isaya 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+Maajabu juu ya maajabu;Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+ Isaya 44:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ninazivuruga ishara za wale wanaoongea maneno matupu,*Na mimi ndiye ninayewafanya wabashiri watende kama wapumbavu;+Ninayewavuruga watu wenye hekimaNa kubadili ujuzi wao kuwa upumbavu;+
14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+Maajabu juu ya maajabu;Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+
25 Ninazivuruga ishara za wale wanaoongea maneno matupu,*Na mimi ndiye ninayewafanya wabashiri watende kama wapumbavu;+Ninayewavuruga watu wenye hekimaNa kubadili ujuzi wao kuwa upumbavu;+