Ayubu 30:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini sasa wananidhihaki hata katika nyimbo zao;+Nimekuwa kitu cha kudharauliwa nao.*+ 10 Wananichukia na kukaa mbali nami;+Hawasiti kunitemea mate usoni.+
9 Lakini sasa wananidhihaki hata katika nyimbo zao;+Nimekuwa kitu cha kudharauliwa nao.*+ 10 Wananichukia na kukaa mbali nami;+Hawasiti kunitemea mate usoni.+