Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova akamjibu Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate usoni moja kwa moja, je, hangeaibika kwa siku saba? Acha atengwe nje ya kambi kwa siku saba,+ kisha anaweza kurudishwa kambini.”

  • Kumbukumbu la Torati 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 basi mjane wa ndugu yake atamkaribia mbele ya wazee, atamvua mwanamume huyo kiatu,+ kisha amtemee mate usoni na kusema, ‘Hivyo ndivyo anavyopaswa kutendewa mwanamume ambaye hatajenga familia ya ndugu yake.’

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipiga

      Na mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu.

      Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+

  • Mathayo 27:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Wakamtemea mate+ na kuuchukua ule utete, wakaanza kumpiga kichwani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki