Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wana kinubi na kinanda,

      Tari, filimbi, na divai katika karamu zao;

      Lakini hawafikirii utendaji wa Yehova,

      Wala hawaioni kazi ya mikono yake.

  • Isaya 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini badala yake, kuna sherehe na kushangilia,

      Kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo,

      Kula nyama na kunywa divai.+

      ‘Acheni tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.’”+

  • Amosi 6:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wanalalia vitanda vya pembe za tembo+ na kujinyoosha kwenye makochi,+

      Wakila kondoo dume wa kundi na ndama* waliononeshwa;+

       5 Wanatunga nyimbo papo hapo kupatana na sauti ya kinubi,*+

      Na kama Daudi, wanabuni ala za muziki;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki