-
Ayubu 42:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Kwa hiyo Elifazi Mtemani, Bildadi Mshua, na Sofari Mnaamathi wakaenda na kufanya kama Yehova alivyowaambia. Kisha Yehova akakubali sala ya Ayubu.
-