Ayubu 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova akamwambia Shetani: “Je, umemwona* mtumishi wangu Ayubu? Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani. Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,*+ anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu.” Zaburi 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova anaijua njia ya waadilifu,+Lakini njia ya waovu itaangamia.+ Zaburi 139:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 139 Ee Yehova, umenichunguza kabisa, nawe unanijua.+
8 Yehova akamwambia Shetani: “Je, umemwona* mtumishi wangu Ayubu? Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani. Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,*+ anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu.”