26 “Ukichukua nguo ya jirani yako kuwa dhamana ya mkopo,+ unapaswa kumrudishia kabla ya jua kutua. 27 Kwa sababu hiyo ndiyo nguo pekee aliyo nayo ya kujifunika, nguo ya kufunika mwili wake, atajifunikia nini anapolala?+ Akinililia, hakika nitasikia, kwa sababu mimi ni mwenye huruma.+