Kumbukumbu la Torati 28:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+ 16 “Mtalaaniwa jijini na mtalaaniwa shambani.+ Methali 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Laana ya Yehova iko juu ya nyumba ya mwovu,+Lakini huyabariki makao ya mwadilifu.+
15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+ 16 “Mtalaaniwa jijini na mtalaaniwa shambani.+