Esta 9:7-10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, waliwaua Parshandatha, Dalfoni, Aspatha, 8 Poratha, Adalia, Aridatha, 9 Parmashta, Arisai, Aridai, na Vaizatha, 10 wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedatha, adui ya Wayahudi.+ Lakini baada ya kuwaua, hawakuwapora chochote.+ Hosea 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Waefraimu, waliopandwa malishoni, walikuwa kama Tiro kwangu;+Sasa lazima Waefraimu wawalete wana wao ili wachinjwe.”
7 Pia, waliwaua Parshandatha, Dalfoni, Aspatha, 8 Poratha, Adalia, Aridatha, 9 Parmashta, Arisai, Aridai, na Vaizatha, 10 wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedatha, adui ya Wayahudi.+ Lakini baada ya kuwaua, hawakuwapora chochote.+
13 Waefraimu, waliopandwa malishoni, walikuwa kama Tiro kwangu;+Sasa lazima Waefraimu wawalete wana wao ili wachinjwe.”