Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema huwaachia urithi wajukuu wake,Lakini mali ya mtenda dhambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Methali 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anayezidisha mali zake kwa faida+ na ribaHumkusanyia yule anayemtendea maskini kwa fadhili.+ Mhubiri 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeye humpa mtu anayempendeza hekima na ujuzi na shangwe,+ lakini humpa mtenda dhambi kazi ya kukusanya na kurundika tu, ili ampe yule anayempendeza Mungu wa kweli.+ Hili pia ni ubatili, kukimbiza upepo.
22 Mtu mwema huwaachia urithi wajukuu wake,Lakini mali ya mtenda dhambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
26 Yeye humpa mtu anayempendeza hekima na ujuzi na shangwe,+ lakini humpa mtenda dhambi kazi ya kukusanya na kurundika tu, ili ampe yule anayempendeza Mungu wa kweli.+ Hili pia ni ubatili, kukimbiza upepo.