Methali 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,+Lakini Yehova ndiye mchunguzaji wa mioyo.+ Malaki 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha,+ naye atawatakasa wana wa Lawi; atawasafisha kama dhahabu na kama fedha, nao hakika watakuwa watu wanaomtolea Yehova zawadi kwa uadilifu.
3 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,+Lakini Yehova ndiye mchunguzaji wa mioyo.+
3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha,+ naye atawatakasa wana wa Lawi; atawasafisha kama dhahabu na kama fedha, nao hakika watakuwa watu wanaomtolea Yehova zawadi kwa uadilifu.