Zaburi 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nichunguze, Ee Yehova, na unijaribu;Safisha mawazo yangu ya ndani kabisa* na pia moyo wangu.+ Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Njia zote za mwanadamu huonekana kuwa sawa machoni pake,+Lakini Yehova huichunguza mioyo.*+ Methali 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,” Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+ Naam, Yule anayekutazama atajuaNaye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+
12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,” Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+ Naam, Yule anayekutazama atajuaNaye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+