Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova akamwambia Shetani: “Je, umemwona* mtumishi wangu Ayubu? Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani. Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,*+ anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu. Bado anashika kabisa utimilifu+ wake, hata ingawa unajaribu kunichochea dhidi yake+ ili nimwangamize* bila sababu.”

  • Ayubu 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia kuwatangaza ninyi kuwa waadilifu!

      Mpaka nitakapokufa, sitaukana* utimilifu wangu!+

  • Zaburi 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova atayahukumu mataifa.+

      Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu

      Na kulingana na utimilifu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki