Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye wakasikia sauti ya Yehova Mungu alipokuwa akitembea katika bustani wakati ambapo kuna upepo mtulivu, na mwanamume huyo na mke wake wakajificha katikati ya miti ya bustani kutoka mbele za uso wa Yehova Mungu.

  • Methali 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+

      Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+

  • Matendo 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Petro akamuuliza: “Niambie, je, ninyi wawili mliuza shamba kwa kiasi hiki?” Akajibu: “Ndiyo, kwa kiasi hicho.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki