-
Mwanzo 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Baadaye wakasikia sauti ya Yehova Mungu alipokuwa akitembea katika bustani wakati ambapo kuna upepo mtulivu, na mwanamume huyo na mke wake wakajificha katikati ya miti ya bustani kutoka mbele za uso wa Yehova Mungu.
-
-
Matendo 5:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Petro akamuuliza: “Niambie, je, ninyi wawili mliuza shamba kwa kiasi hiki?” Akajibu: “Ndiyo, kwa kiasi hicho.”
-