Hesabu 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo akawaambia: “Tafadhali, sikilizeni maneno yangu. Ikiwa nabii wangu, mimi Yehova, angekuwa miongoni mwenu, ningejitambulisha kwake katika maono,+ nami ningeongea naye katika ndoto.+ Danieli 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono ya kichwa changu yalinitisha.+
6 Ndipo akawaambia: “Tafadhali, sikilizeni maneno yangu. Ikiwa nabii wangu, mimi Yehova, angekuwa miongoni mwenu, ningejitambulisha kwake katika maono,+ nami ningeongea naye katika ndoto.+
5 Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono ya kichwa changu yalinitisha.+