Ayubu 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana najua vizuri kwamba mkombozi wangu+ yuko hai;Atakuja baadaye na kuinuka juu ya dunia.* Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+