Ayubu 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Unajua kwamba sina hatia;+Na hakuna yeyote anayeweza kuniokoa kutoka mkononi mwako.+ Ayubu 16:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uso wangu ni mwekundu kwa sababu ya kulia,+Na kuna kivuli kizito* juu ya kope zangu,17 Ingawa mikono yangu haijatenda ukatili wowote Na sala yangu ni safi. Ayubu 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Ayubu amesema, ‘Sijakosea,+Lakini Mungu ameninyima haki.+
16 Uso wangu ni mwekundu kwa sababu ya kulia,+Na kuna kivuli kizito* juu ya kope zangu,17 Ingawa mikono yangu haijatenda ukatili wowote Na sala yangu ni safi.