Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 51:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mimi mwenyewe Ndiye ninayewafariji.+

      Kwa nini umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa+

      Na mwana wa binadamu atakayenyauka kama majani mabichi?

      13 Kwa nini unamsahau Yehova Muumba wako,+

      Yule aliyezitandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia?

      Mchana kutwa uliendelea kuhofu ghadhabu ya mkandamizaji,*

      Kana kwamba angeweza kukuangamiza.

      Iko wapi sasa ghadhabu ya mkandamizaji?

  • 1 Petro 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hivyo basi, acheni wale wanaoteseka kwa kufanya mapenzi ya Mungu waendelee kujikabidhi wenyewe* kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki