10 Hajatutendea kulingana na dhambi zetu,+
Wala hajatupa adhabu tuliyostahili kulingana na makosa yetu.+
11 Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,
Ndivyo upendo wake mshikamanifu ulivyo mkubwa kuelekea wale wanaomwogopa.+
12 Kama mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,
Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali sana na sisi.+